Baba na Mwana ( Mkurugenzi wa kijiji cha Dar es salaam - (Anglowisye Ntalima) akiwa amembeba mtoto Cristiano mara baada ya kuwasili kijijini hapo siku ya jumatatu ya tarehe 6/10/2014
Mtoto Cristiano akiwa amebebwa na dada yake wa SOS - Happiness
Family affair! Baba akiwa na Aunt Asha Mkina - Mama mpya wa Cristiano
A HUG from Aunt Jennifer ...
Afisa Ustawi wa Jamii wa Katavi akimkabidhi mtoto kwa baba na mama mara baada ya kuwasili kwenye makazi ya SOS Dar es salaam
No comments:
Post a Comment