Balozi wa Nia Njema wa SOS Tanzania - Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Alhaji Ally Hassan Mwinyi (Babu) akimbusu mtoto aliyempa maua mara baada ya kuingia kijijini
Balozi na Nia Njema wa SOS Tanzania , Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaji Ally Hassan Mwinyi akiwa sambamba na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya SOS Tanzania Dr. Mary Nagu (kulia) na Mkurugenzi wa Kijiji cha SOS Dar es salaam Dr. Alex Lengeju (kushoto) wakati wa ziara ya Balozi huyo kijijini hapo
Babu (Mzee Mwinyi) alipata fursa ya kucheza kiduku na watoto wakati wa ziara yake
Babu akishuhudia maonyesho ya mavazi yaliyoandaliwa na watoto wa kijiji
Mzee Mwinyi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa SOS Tanzania Rita Kaurananga wakati wa ziara yake
Mwenyekiti wa Wadhamini wa Bodi ya SOS Tanzania Dr. Mary Nagu akimkabidhi tuzo Mzee Mwinyi kama ishara ya Shukrani kwa kukubali kwake kuwa Balozi wa Nia Njema kwa SOS Tanzania
Mzee Mwinyi alipata fursa ya kupiga picha na baadhi ya Wafanyakazi wa Kijiji cha SOS Dar Es Salaam na baadhi ya Wadhamini wa Bodi
Hapa akiwa na Baadhi ya Walezi wa watoto
Mzee Mwinyi na baadhi ya Wadhamini wa Bodi ya SOS Tanzania
No comments:
Post a Comment