Tuesday, February 24, 2015

Bunge la watoto



Watoto wana haki ya kujadili na kufanya maamuzi kwenye baadhi ya mambo yao. Hapa watoto  wa Kijiji cha SOS Dar es salaam wakiwa kwenye vikao vya Bunge la watoto wakijadili mambo mbalimbali yanayowahusu


No comments:

Post a Comment